Tuesday, November 1, 2016

MSHIRIKI KUTOKA KENYA OLIVE KIARIE AIBUKA MSHINDI WA MAISHA PLUS EAST AFRIKA

Mshiriki wa Maisha plus Olive Kiarie kutoka nchini Kenya aibuka mshindi katika mashindano hayo. ikiwa finali za mashindano hayo zilifanyika juma pili ya week iliyo pita.


Mashindano haya hufanyika kila mwaka na kushirikisjha washindani kutoka katika nchi za Afrika Mashariki kama vile Tanzania, Rwanda, Uganda, Kenya na Burundi.

Ushindi huo umemfanya binti Olive Kiarie kutoka Kenya kujinyakulia ushindi huo.




No comments:

Post a Comment