Friday, September 9, 2016

KANYE WEST KUTANGAZA KUFANYA ALBUM YA PAMOJA NA DRAKE


Tayali ni habari isiyo na chenga kuwa Kanye West anaenda fanya abum ya pamoja na msanii Drake.
Juzi kati habari hizi zilitolewa na mtu mzima Kanye West akiwa kwenye interview na Vogue. alizungumza  
“We’re just working on music, working on a bunch of music together, just having fun going into the studio,” he explained. “We’re working on an album, so there’s some exciting things coming up soon.”


No comments:

Post a Comment