Friday, May 20, 2016

PREZZO KUMVALISHA PETE YA UCHUMBA BINTI MICHELLE OYOLA


Rapper kutoka Kenya Prezzo ame mvalisha pete ya uchumba mpenzi wake Michelle Oyola ambaye hivi kalibuni wamekuwa pamoja sana sehemu mbali mbali ambapo Prezzo alipo onekana.

Prezzo aliwahi kufanya mambo sawa sawa na haya kwa wanawake wawili tofauti akiwemo mama watoto wake Daisy na maremu Goldie, Kwa sasa mitandao ya kijamii nchini Kenya imepata taarifa hizi ni kuongelea kwa sana kuwa huyu bint wakati huu ni lazima atakuwa mke wa Prezzo.


No comments:

Post a Comment