Monday, May 30, 2016

CHRISS BROWN AMTAJA WIZ KID KUWA NAE KATIKA ONE HELL OF A NIGHT TOUR HUKO ULAYA

Msanii kutoka Nigeria Wiz Kid kwa sasa anaishi ile ndoto ambayo wasanii wengi wa Africa bado wanaiota.Baada ya kushilikishwa na Drake kwenye wimbo wake wa One Night Dance, wimbo uliomo kwenye album mpya ya Drake na ulishika number moja kwenye chart za billboard top 100. Nasasa msanii kutoka pande za Nigeria Wiz Kid kupata bonge la shavu kumsindikiza Drake kwenye Tour ambazo anafanya kwa sasa Ulaya "One Hell Of A Night Tour.

Taarifa hiyo ilitolewa na Chris Brown mwenyewe kwenye akaunti yake ya Instagram kabla ya Wizkid naye kuandika: 5th – 11th June I’ll be supporting my brother @chrisbrownofficial !! Get ur tickets!! #Onehellofanitetour Bringing the African wave!!”

Wizkid ana wimbo aliomshirikisha muimbaji huyo wa Marekani mwenye mashabiki wengi.

No comments:

Post a Comment