Friday, May 27, 2016

JOSE MOURINHO ATANGAZWA RASMI KUWA MANAGER MPYA WA MANCHESTER UNITED

Klabu ya Manchester United leo imemtangaza rasmi Mreno Jose mourinho kuwa manager mpya wa klabu hiyo. Ali kabidhiwa uongozi huo ukitoka mikononi mwa mholanzi Louis Van Gaal aliye timuliwa kutoka timu hiyo ivi karibuni.


Mourinho mwenye umri wa miaka 54 ambaye aliwahi kuvifundisha vilabu vya Porto, Chelsea, Inter Milan pamoja na Real Madri. Ame saini mkataba wa miaka miitatu kuwatumikia mashehani hao wekundu.
"Kuwa Manager wa Manchester United ni heshima  kubwa sana. Ni klabu inayo fahamika na kupendwa na watu wengi duniani kote" amesema Jose.

Mreno huyo ambaye ni mzoefu a kushida mataji ata anza rasmi kutumikia klabu hiyo kuanzia msimu wa 2016/2017.

No comments:

Post a Comment