Friday, April 29, 2016

KITOKO BIBARWA MSANII TOKA RWANDA ANAKUJA NA ALBUM YA POLE POLE

Kitoko ni msanii wa Rwanda aishiye inchini Wingereza ametakngaza kuacia album yake yenye videos tano ambayo ameipa jina la Pole Pole.


Baada ya msanii Kitoko kuachia video yake mpya "Am In Love" ambayo alifanya na muimbaji wa kike maarufu Sheebah Kalungi kutoka nchini Uganda.


Sasa anaendelea kushtua watu kwa kutangaza kuja na album mpya ya videos yenye nyimbo tano ambazo ni 1- Hatuwezi Kurudi 2- Ninde 3- Pole Pole 4- Biragoye 5- Amadayimoni. Ametangaza kuwa baada ya week mbili zijazo album itakuwa imetoka



No comments:

Post a Comment