Monday, December 21, 2015

SPAXX MSANII WA RWANDA AMSHIRIKISHA PALLASO WA UGANDA, NYIMBO INAITWA NASKIA VIZURI

Spaxx msanii mkongwe wa miondoko ya Dancehall kutoka Rwanda, amefanya Collabo na msanii kutoka Uganda Pallaso, nyimbo inaitwa "NASKIA" audio ime fanywa na producer Pachento ndani ya Studio za Narrow road Records.

Tazama Audio Cover ya NASKIA by Spaxx Ft Pallaso



Kutokana na Taarifa kutoka kwa Spaxx Anasema kama tayali na video imesha shootiwa nchini Uganda na Video Director  kutoka Rwanda ambaye ana julikana kwa jila la Meddy Sareh. ikiwa bado tuna subili kwa hamu kuona video, tazama picha ya Spaxx na Pallaso waki shoot video ya Naskia.



Google IMETOA LIST YA THE 10 MOST SEARCHED SONG LYRICS 2015

Mtandao wa Google umetoa list ya video kumi ambazo zime fanyiwa search nyingi kuliko zote duniani kati ya huu mwaka wa 2015. THE MOST GOOGLED SONG LYRICS 2015.
Adele neye baada ya kufanya vizuri kwenye nyimbo yake Hello, bado ana ongoza kwenye list hii iliyo tolewa na Google
Tazama list yote ya lyrics 10 hapa chini

1 - Hello - Adele
2 - Hozier - Take me to Church
3 - Taylor Swift - Blank Space
4 - Mark Ronson ft Bruno Mars -Up town Funk
5 - Edd Sheeran - Thinking out Loud
6 - Drake - Hotline Bling
7 - Wiz Khalifa - See you Again
8 - Fetty Wap - Trap Queen
9 - The Weekend - The Hills
10 - OMI - Cheerleader

Thursday, December 17, 2015

HAWA NDIO TOP 5 YA WASANII WAKIKE AFRICA

MTV BASE imetoa list ya wasanii watano ambao wako juu Africa, akiwemo na msanii wa kike kutoka tanzania East Africa Vannesa Mdee.

Na hii ndio list

1 - Yemi Olade (Nigeria)
2 - Vannesa Mdee (Tanzania)
3 - Seyo Shay (Nigeria)
4 - Cinthia Morgan (Nigeria)
5 - Bucie (South Africa)

                                                                              Yemi Olade (Nigeria)
                                                                      Vannesa Mdee (Tanzania)
                                                                  Seyo Shay (Nigeria)
                                                              Cinthia Morgan (Nigeria)
                                                               Bucie (South Africa)

SHINDANO LA SURA MBAYA JE APO UPO?


Sio sura nzuri tu ambazo zina uza ata mbaya pia zina uza, kwani kume andaliwa shindano la wanaume wenye sura mbaya Africa, liitwalo Mr Ugly Africa ambapo wale wote wanao jiamini kuwa na sura mbaya wanaweza kuji andikisha na kushindania taji hilo, je wewe upo apo?

Angalia apa chini baadhi ya sura ambaya zilizo wwahi kushinda baadhi ya mashindano ya namna hiyo barani africa

                                                                        Sura ya Uganda

NEW SONG Kalapina Ft Dunga - Magufuli Balaa

Hip Hop Artist Kalapina a.k.a Nabii koko

Msanii  Wa Hip Hop Tanzania Na Mmiliki Wa Kundi La Kikosi Cha Mizinga Kalapina a.k.a Nabii Koko Atoa Ngoma Mpya Akimuongelea Rais Mteule Wa  Tanzania  Dr. John Pombe Magufuli, ni nyimbo iliyo jaa sifa za huyu raisi aliye weza kuji tengenezea umaarufu mkubwa mara baada ya kuanza vita dhidi ya mafisadi na kutambulisha ratiba za usafi wa nchi na mengine mengi, 
Jina La Wimbo Ni Magufuli Balaa.