Wednesday, October 19, 2016

KING KAKA AONEKANA KATIKA PICHA AKISHIKILIWA NA POLISI NCHINI KENYA

Msanii wa hip hop nchini Kenya Kaka sungura a.k.a King Kaka ame onekana katika picha zilizo sambaa mtandaoni akiwa kashikiliwa na polisi. Japo kuwa mpaka sasa haija julikana nini sababu ya msanii huyo kushikiliwa na police


 Ikiwa watu bado wanajiuliza kama huyu msanii kashikiliwa na polisi kweli au hizi ni picha za video au alikuwa ana shoot movie wacha tusubili habali kamili, na Upinkgl tutawajuza hivi kalibuni.









No comments:

Post a Comment