Thursday, December 17, 2015

SHINDANO LA SURA MBAYA JE APO UPO?


Sio sura nzuri tu ambazo zina uza ata mbaya pia zina uza, kwani kume andaliwa shindano la wanaume wenye sura mbaya Africa, liitwalo Mr Ugly Africa ambapo wale wote wanao jiamini kuwa na sura mbaya wanaweza kuji andikisha na kushindania taji hilo, je wewe upo apo?

Angalia apa chini baadhi ya sura ambaya zilizo wwahi kushinda baadhi ya mashindano ya namna hiyo barani africa

                                                                        Sura ya Uganda

No comments:

Post a Comment