Thursday, December 17, 2015

NEW SONG Kalapina Ft Dunga - Magufuli Balaa

Hip Hop Artist Kalapina a.k.a Nabii koko

Msanii  Wa Hip Hop Tanzania Na Mmiliki Wa Kundi La Kikosi Cha Mizinga Kalapina a.k.a Nabii Koko Atoa Ngoma Mpya Akimuongelea Rais Mteule Wa  Tanzania  Dr. John Pombe Magufuli, ni nyimbo iliyo jaa sifa za huyu raisi aliye weza kuji tengenezea umaarufu mkubwa mara baada ya kuanza vita dhidi ya mafisadi na kutambulisha ratiba za usafi wa nchi na mengine mengi, 
Jina La Wimbo Ni Magufuli Balaa.


No comments:

Post a Comment