Thursday, September 8, 2016

LIST YA WASANII WATAKAO IMBA KWENYE TUZO ZA MTV MAMA 2016 YA TAJWA



List ya wasanii watakao imba kwenye tuzo za MTV MAMA za 2016 yatajwa, na kati ya hao wasanii ni Yemi Olade,Nasty C na Babes Wodumo.

Mwaka huu kutakuwa na jumla ya vipengele 18 ambapo majina ya wanaowania yatatangazwa September 22 jijini Johannesburg, na Lagos, October 2.
Vipengele vya mwaka huu ni pamoja:
1. Best Male
2. Best Female
3. Best Group
4. Best Breakthrough Act
5. Best Live Act
6. Best Francophone
7. Best Lusophone
8. Best Pop/Alternative
9. Best Hip Hop in association with MTN
10. Best International Act
11. Legend Award
12. Best Collaboration in partnership with Absolut
13. Video of the Year
14. Song of the Year in partnership with Google
15. Artist of the Year
16. Personality of the Year
17. MTV Base Africa Re-Imagined Award
18. Listener’s Choice

No comments:

Post a Comment