Monday, September 26, 2011

Jay- Polly ku Launch "IWACU" Album 07 october 2011

Msanii maarufu nchini Rwanda Jay-Polly ambaye ni member wa kundi linalo julikana kama Tuff Gang, anatarajia ku launch album yake tarehe 07/ October/ 2011, Album hii itakuwa ya kwanza kwa msanii huyo, na ita sindikizwa na wasanii wengine wa nyumbani kama vile Diplomat, Pacson, Bac-T, Paccy, MC Mande, Kamichi, Tom Clouse, Uncle Austin, Sandra miraji, Just Family, Dream Boyz na wengine wengi.
Na pia kutakuwa na wasanii kutoka nje ya Rwanda kama vile T-Max kutoka Burundi na Geez Mabovu kutoka Tanzania

                          Burundian Rapper: T-Max

                    Tanzanian rapper: Geez mabovu

No comments:

Post a Comment