Friday, September 30, 2016

SALOME VIDEO YA DIAMOND PLUTNUMZ YAPATA VIEWS MILLION 3 KWA WEEK MOJA NDANI YA YOUTUBE



Video ya Diamond Plutnumz aliyo mshirikisha Raymond ya "Salome" yapata zaidi ya views million 3 kwa muda wa week moja tu, ndani ya mtandaom wa YOUTUBE.



Nyimbo hii ni Remix ya nyimbo ya muimbaji mwana mama Saida Kaloli, ni nyimbo iliyo pata umaarufu sana Afika Mashariki. Diamond kaamua kuirudia na kuifanya pamoja na mwanamziki mwenzake kutoka Wasafi Records Raymond.



Diamond amekuwa ni mmoja kati ya wasanii wakubwa wanao iwakilisha Afrika Mashariki na kuwa ni mtu anaye pata vies nyingi zaidi Youtube pindi anapotupia video zake tu ndani ya mtandao huo.

Thursday, September 15, 2016

VICTORIA KIMANI MSANII WA KENYA AFANYA NYIMBO YA KWANZA KWA LUGHA YA KISWAHILI


Victoria Kimani ame onekana ku walalamikia mashabiki wake wa Kenya pamoja na East Africa kwa ujumla kuwa hawampi sapoti katika kazi zake za mziki. ila sababu ilionekana ni kuwa Kimani hawapi nyimbo wakazi wa Kenya na Afrika mashariki kwa ujumla ambazo zipo kwa lugha wanayo ielewa.


Ila kwa sasa Victoria Kimani Kafanya nyimbo ambayo ipo kwa lugha ya Kiswahili kwa mala ya kwanza, nyimbo ambayo kaipatia jina la "Gota"

Kimani amemtaja rapper AbbasDoobies kuwa ndiye aliye msaidia kuandika hii single ya kiswahili.
unaweza kuisikiliza Gota ya Victoria Kimani  hapa chini....


Friday, September 9, 2016

KANYE WEST KUTANGAZA KUFANYA ALBUM YA PAMOJA NA DRAKE


Tayali ni habari isiyo na chenga kuwa Kanye West anaenda fanya abum ya pamoja na msanii Drake.
Juzi kati habari hizi zilitolewa na mtu mzima Kanye West akiwa kwenye interview na Vogue. alizungumza  
“We’re just working on music, working on a bunch of music together, just having fun going into the studio,” he explained. “We’re working on an album, so there’s some exciting things coming up soon.”


RAISI PAUL KAGAME AMEOMBA NCHI ZA EAC KUWA MAKINI KATIKA MTAZAMO NA MIPANGO WALIYO JIWEKEA

Raisi Paul Kagame wa Rwanda alipokuwa katika mkutano wa 17 wa viongozi wa nchi ziazo tengezeza jumuiya ya Afrika Mashariki, mkutano uliofayikia mjini Dar es Salaam Tanzania Kagame alisistiza kuwa nchi za EAC zinapaswa kuwa makini katika mtazamo na mipango waliyo jiwekea.


Raisi Kagame ameonyesha kuwa kufanya kazi pamoja kama jumuia ya nchi za Afrika Mashariki itasababisha nchi zote kuwa na nguvu kuliko kila nchi kujitegemea.
Alisema kuwa "Kwanza kabisa tunapaswa kuweka bidii na kujituma katika mitazamo na mipango tuliyo jiwekea kama jumuia, na pia kuweka bidii katika utendaji wa kazi nzuri na zenye manufaa.
Huu muungano una tusababishia kuwa na nguvu kuliko pale ambapo kila nchi ikijitegemea. lakini hapa tunapaswa muda wote kuwa pamoja na  kushirikiana ili tuweze kutekeleza yale yote tunayo kubaliana".

Raisi John Pombe Magufuli wa Tanzania, Yoweri Museveni wa Uganda, Paul Kagame wa Rwanda na makamu wa raisi wa Kenya William Ruto. Hawa ndio viongozi waliokutana.

Sudani ya mashariki ili wakilishwa kama  nchi ya sita ambayo nayo ikiwemo katika jumuia ya nchi za Afrika Mashariki japo kuwa raisi wa nchi hiyo Salva Kiir hakuwepo kwenye mkutano huo.

Pia maswala ya Burundi yali zungumziwa katika mkutano huo, raisi Pierre Nkurunziza hakuwepo lakini ali wakilishwa na waziri wake wa mambo ya nje bwana Alain Aime Nyamitwe.
Msuruhishi wa maswala ya Burundi bwana Benjamini William Mkapa aliwakilisha faili ambalo lina eleza pale mambo yalipo fika katika jukumu la kutafuta amani nchini Burundi.
Kiongozi wa EAC raisi John Pombe Magufuli alimshukuru bwana Benjamini Mkapa kwa kazi ambayo ana ifanya kama mkutanishi katika maswala ya kutafuta amani ya Burundi.












Thursday, September 8, 2016

RAISI WA KENYA UHURU KENYATA AWAKARIBISHA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI NA WATENGENEZAJI MAGARI AINA YA VOLKSWAGEN NCHINI KENYA

Raisi Uhuru Kenyata wa Kenya ame wakaribisha watengenezaji wa magari aina ya Volkswagen Group nchini Kenya kwa Mazungumzo.
kupitia acount yake ya facebook amesema " I am happy to welcome back the lagest car manufacturer currently in the world, back to Kenya, Volkswagen South Africa will establish an assembly plant to produce motor vehicles at the Kenyan vehicle Manufacturers limited in Thika.This is my milestone in my administration's determined push to grow the manufacturing base and transform Kenya into an industrialized nation".




BUTERA KNOWLES BAADA YA KUFUNGA NDOA NA UJAUZITO AENDELEA KUFANYA NYIMBO ZA KISWAHILI


Msanii mrembo Knowless Butera toka Rwanda ana onekana kutaka kuliteka soko la muziki wa Africa Mashariki kwa kufuruliza kuachia nyimbo ambazo zipo kwenye lugha ya Kiswahili, tofauti na wasanii wengi toka nchini Rwanda ambapo tumezoea kuskia wakitumia Lugha ya Kinyarwanda sana katika nyimbo zao.
Nahii imeonekana kama ni kikwazo kwa mziki wa Rwanda kuvuka mipaka na kuweza kufika nchi zote za Africa Mashariki.
Baada ya msanii Knowles kufanya nyimbo za kiswahili kam vile TULIA na PEKE YANGU watu walianza kujiuliza mengi.

Na baada ya kufanya harusi huku akiwa ni mjamzito  na Producer pia C.E.O wa record label ya Kina Music Clement. Juzi tu Knowles kashitua watu kwa muendelezo wa nyimbo za kiswahili na kufanya nyimbo nyingine mpya, aliyo ipatia jina la (Ujumbe by Knowles)

unaweza ku download na kusikiliza nyimbo mpya ya knowles UJUMBE hapa chini.



USHER KUPOKEA HESHIMA YA HOLLYWOOD "WALK OF FAME"


Msanii kutoka Marekani Usher Raymond amekuwa ni msanii maarufu kwa muda mrefu. lakini mwisho wa sikuu sasa amepata heshima yake ya u star  toka hollywood. Kama WALK OF FAME.

Siku ya juma nne msanii huyu star wa R&B duniani, huko hollywood walimkubali na kuweka saini ya nyota na jina lake kama star wa Walk of fame. kwa kumkubali kama msanii aliye fanya mambo mengi duniani katika safari yake mziki.

“I’m here because I haven’t given up and I have even more to tell,” he said. “It’s a story that started many, many, many years ago that leads to this moment. It’s not just what you do while you’re here. It’s the evidence of what you’ve done and what you leave on the walls, on the ground, and the hearts of all the people who are passionately connected to what you put out in the world.”


Usher pia kachukua nafasi ya kuwashukuru mashabiki wake kwa support wanayo muonyesha kila siku. “I don’t just celebrate this moment by myself,” he said. “I celebrate it with those people who invested in me, those people who loved me in my hard times.”

Msanii huyu pia haku kosa kushukuru watu ambao walikuwa karibu naye sana kwa kipindi chote kama vile  Stevie Wonder, Kelly Rowland, Miguel, and will.i.am. Others, like BJ the Chicago Kid, shared their congrats on Twitter.

LIST YA WASANII WATAKAO IMBA KWENYE TUZO ZA MTV MAMA 2016 YA TAJWA



List ya wasanii watakao imba kwenye tuzo za MTV MAMA za 2016 yatajwa, na kati ya hao wasanii ni Yemi Olade,Nasty C na Babes Wodumo.

Mwaka huu kutakuwa na jumla ya vipengele 18 ambapo majina ya wanaowania yatatangazwa September 22 jijini Johannesburg, na Lagos, October 2.
Vipengele vya mwaka huu ni pamoja:
1. Best Male
2. Best Female
3. Best Group
4. Best Breakthrough Act
5. Best Live Act
6. Best Francophone
7. Best Lusophone
8. Best Pop/Alternative
9. Best Hip Hop in association with MTN
10. Best International Act
11. Legend Award
12. Best Collaboration in partnership with Absolut
13. Video of the Year
14. Song of the Year in partnership with Google
15. Artist of the Year
16. Personality of the Year
17. MTV Base Africa Re-Imagined Award
18. Listener’s Choice

JE WAJUA KAMA DR DRE NDIO MSANII WA HIP HOP ANAYE ONGOZA KUPATA HELA NYINGI KWA MFULULIZO WA MIAKA 10 SASA



Forbes Magazine imekuwa iki ongoza kwa kutoa habari za utajili duniani kwa muda waa zaidi ya miaka 100 sasa. Na kwa muda wa miaka 10 sasa ime onekana kuwa Msanii wa hip hop Dr Dre ndio ana kamata number moja kila mwaka kwa miaka kumi sasa inayo fuatana katika Cash King List.

Forbes waki sherekea kumbu kumbu ya miaka 10 katika list ya ma rapper tajiri duniani mtu waliye muangazia ni Dr Dre ambaye kwa sasa amepata zaidi ya Dollar Million 923 kwa huo muda wote. akishukuru pia deal yake ya Apple akiuza Beats Audio nakupata zaidi ya Dollar Billioni 3.

Kwa mujibu wa Forbes katika kumbu kumbu ya Cash King report, rapper wa kawaida anaye ongoza ni Puff Daddy  akishikilia namba moja akiwa na zaidi ya dollar million 62 anazo pata kwa mwaka, kupitia deal yake ya Cirok Vodka.Jay-Z na Dr Dre wakifuatia katika nafasi ya pili na ya tatu.kwa repoti inayo tolewa ya kipato cha dollar millioni 53.5 na dollar milioni 41. Drake aki kamata nafasi ya 4 na Dollar Millioni 38.5 na Wiz Khalifa akifunga nafasi ya tano akiwa na dollar milioni 24.

Kendrick Lammar akimtoa Kanye west kwa mtazamo wa Cash King Top 10 ya mwaka 2016.